Katika miezi ya hivi karibuni jimbo la Ituri katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo limekosa usalama// Wasiwasi wa ajira zaidi ya elfu moja kupotea umetanda miongoni mwa Watanzania baada ya Sheria ya Uwakala wa Meli kuanza kutumika// Shirika la Afya duniani hivi karibuni, lilitangaza janga la Ebola kuwa dharura ya kimataifa.