1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.09.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S24 Septemba 2021

Joto la uchaguzi nchini Ujerumani limefikia kiwango cha juu kabisa ikiwa zimesalia saa 48 kabla wapiga kura kutemreka vituoni Jumapili ya Septemba 26 kulichagua bunge jipya+++Tunisia- UGTT imesema hatua ya Rais Kais Saied kuchukua mamlaka kamili na kuifanyia katiba mageuzi, ni hatari kwa demokrasia+++Jumuiya ya waumini wa Kiislamu nchini Uganda imefanya ibada ya kwanza ya Ijumaa.

https://p.dw.com/p/40p8r