Nchi za Afrika kwa mara nyingine zinakabiliwa na mgogoro mwingine mkubwa wa madeni/ Mashirika mbali mbali ya kutetea haki za binadamu nchini Kenya yanaitaka serikali kushughulikia kwa dharura mahitaji ya madakrati/ Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alifanya safari ya siri ya kwenda nchini Saudi Arabia Jumapili iliyopita na kukutana na Mwanamfalme Mohammed bin Salman pamoja na Mike Pompeo.