1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.02.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S25 Februari 2020

Nchini Tanzania kumekuwa na hisia tofauti baada ya kuwachiwa huru kwa mwanahabari wa upelelezi Erick Kabendera baada ya kukubali kulipa faini ya zaidi ya shilingi milioni 200 za Kitanzania// Italia: Juhudi za kupambana na Corona zaendelea // Watu 30 wajeruhiwa kwa kugongwa na gari katika sherehe za carnival Ujerumani//Libya- Pande hasimu zasusia mazungumzo ya Geneva.

https://p.dw.com/p/3YOBF