Mvutano wa kisiasa wapamba moto Armenia// Jiji la Dar es salaam limeanza kuendesha mambo yake katika sura mpya
kufuatia hatua ya Rais John Magufuli kuvunja Halmashauri ya Jiji// Nchini Burundi kwa ripotiwa upungufu mkubwa wa vyumba vya kuhifadhia maiti, kiasi kwamba familia zilizofiwa na wapendwa wao zinalazimika kutoa hongo ili kupata nafasi chache zilizopo.