1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.02.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S25 Februari 2021

Licha ya serikali ya Tanzania kukiri kuwepo kwa janga la virusi vya corona nchini humo, viongozi wengi wakiwemo mawaziri wameendelea kupuuza umuhimu wa kuvaa barakoa. Wananchi wasema wanaonesha mfano mbaya// Chama cha riadha nchini Kenya, kimewazuia wanariadha wake kwenda kushiriki mashindano makubwa ya riadha ya Tanzania (Kilimanjaro Marathon).

https://p.dw.com/p/3ps10