1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.05.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S25 Mei 2020

Burundi: Chama Cndd Fdd kimebuka ushindi katika uchaguzi wa urais kwa kupata asilimia 68.72 kura katika uchaguzi wa urais/ Libya: Hali nchini Libya inaendelea kuwa tete licha ya juhudi za kimataifa za kupatanisha makundi yanayohasimiana/ Hong Kong: Wakuu wa polisi na idara za usalama wamesema visa vya ugaidi vinaongezeka/ Myanmar yawasilsha ripoti yake ya Rohingya katika mahakama ya ICJ

https://p.dw.com/p/3ckCn