1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.10.2021 Taarifa ya Habari Asubuhi

Bruce Amani
25 Oktoba 2021

WHO yatoa wito kwa nchi tajiri kuwachana na usambazaji wa chanjo za corona kwa faida ya nchi maskini // Colombia kumpeleka Marekani mlanguzi wa dawa za kulevya aliyekuwa anasakwa nchini humo // Na Ujerumani kuongeza doria kwenye mpaka na Poland kushughulikia suala la wahamiaji

https://p.dw.com/p/428Fl