1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.04.2020 Taarifa ya habari asubuhi

Bruce Amani
26 Aprili 2020

Shirika la Afya Duniani laonya kuhusu kinga ya virusi vya corona wakati idadi ya vifo duniani ikipindukia 200,000 // Kundi la G20 lazindua mpango wa kuharakisha upatikanaji wa vifaa vya kupambana na virusi vya corona // Na maelfu ya Waisrael wafanya maandamano kupinga serikali ya umoja wa kitaifa

https://p.dw.com/p/3bQPL