Kila mwaka Waafrika wanaoishi nje ya bara hilo wamekuwa wakituma mabilioni ya dola za Kimarekani kwa familia zao zilizoko barani humo// Je, janga la virusi vya corona hili litawasukuma wanadamu kuwa na mahusiano mazuri na mazingira?// Kutokana na dunia kuteseka na virusi vya corona, wanasayansi wa Afrika, wahandisi na wabunifu hivi sasa wamegeukia masuluhisho yanayopatikana ndani ya nchi zao.