1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.08.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S26 Agosti 2020

Tanzania: NEC imewaonya wanasiasa waliogombea na kujitangazia ushindi kutokana na wapinzani wao kuenguliwa ikisema kuwa kitendo hicho ni kinyume cha sheria/ Lissu awawekea pingamizi Magufuli, Lipumba/ Burundi, Rwanda zaanza mazungumzo kurejesha mahusiano/ Mapigano yazuka upya kusini mwa Yemen/ Netanyahu: Israel inaangalia kwa umakini shambulizi la hivi karibuni katika mpaka na Lebanon

https://p.dw.com/p/3hYHB