1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.06.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S27 Juni 2022

Viongozi wa G7 waapa kuisaida Ukraine "bila kuchoka"/ Jumuiya ya Kujihami ya NATO itaongeza nguvu zake za kijeshi mara nane hadi kufikia wanajeshi 300,000/ Mahakama muhimu afrika zakutana visiwani Zanzibar/ Sudan na Ethiopia zatupiana shutuma tena-nini chanzo?/ Lisbon: Kongamano la kuokoa bahari lafunguliwa rasmi

https://p.dw.com/p/4DJzL