1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.08.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S27 Agosti 2019

"Bila ya Marekani kuondoa vikwazo , hatutashuhudia maendeleo yoyote yenye manufaa," Rouhani alisema katika hotuba aliyoitoa kwa njia ya televisheni, leo// Brazil jana imekataa msaada wa kifedha wa dola milioni 20 wa kusaidia kuzima moto unaowaka katika msitu wa Amazon kutoka kundi la mataifa saba yenye uchumi mkubwa wa viwanda (G7).

https://p.dw.com/p/3OZ2j