Umoja wa Afrika waifungia milango Sudan/ Mashambulizi ya magaidi wa Msumbiji kusini mwa Tanzania/ Afrika Kusini Jumatatu ya Novemba Mosi inaingia katika uchaguzi wa serikali za mitaa> Mahojiano/ Mkutano wa kilele wa nchi za kusini mashariki mwa bara Asia ASEAN/ China imesema kuwa Taiwan haina haki ya kujiunga na Umoja wa Mataifa