1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.01.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S28 Januari 2021

Serikali ya Tanzania imewataka wafanyabiashara wadogo kutumika katika kustawisha uchumi wa taifa hilo la Afrika Mashariki kwa kufanya biashara kwa njia halali badala ya kutumika katika maandamano kadhalika kukwepa kodi/ Muungano wa waalimu nchini Kenya, KUPPET, unaitaka serikali iwape walimu wanaotumwa kufanya kazi maeneo tete, mafunzo ya kiusalama pamoja na kuwapatia bunduki ili waweze kujilinda.

https://p.dw.com/p/3oXWl