1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.05.05.2018 Taarifa ya habari asubuhi

Bruce Amani
31 Mei 2018

Ukraine imesema ilidaganya kuwa mwanahabari wa Urusi Arkady Babchenko alikuwa ameuawa // Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Mashariki ya Kati aonya kuwa kuongezeka kwa machafuko kunaisogeza Gaza kwenye ukingo wa vita // Na Zimbabwe imekataa ombi la raia wake wanaoishi ng'ambo kupiga kura katika uchaguzi ujao

https://p.dw.com/p/2ygHv