Nchini Tanzania kumekuwa na maoni ya kupongeza kufuatia hatua ya Chadema kusitisha maandamano yake/ Gabon: Tume ya uchaguzi Cenap imempitisha Rais Ali Bongo kuwa mshindi wa uchaguzi/ Brazil: Baraza la Senete la Bunge linatazamiwa leo kupiga kura ya kumwondoa madarakani rais Rouseff/ Kenya: Sekta ya Utalii bado inakumbwa na changamoto kufuatia athari za mashambulio ya kigaidi