1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ABUJA: Serikali mpya haitostahmilia rushwa

27 Julai 2007
https://p.dw.com/p/CBev

Rais wa Nigeria,Umaru Yar’Adua amelitawaza baraza jipya la mawaziri 39 na kuonya kuwa atatekeleza sera “isiyostahmili rushwa hata kidogo.“Yar’Adua amewateua mawaziri wadogo 3 wa nishati na hivyo yeye ndio atadhibiti sekta za petroli,gesi na nishati.