1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Adama Barrow atangazwa mshindi wa urais Gambia

Sylvia Mwehozi
2 Desemba 2016

Kiongozi wa upinzani nchini Gambia, Adama Barrow ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon aomba radhi kwa Umoja huo kusambaza ugonjwa wa kipindupindu nchini Haiti na rais wa Ufaransa Francois Hollande atangaza kutowania muhula wa pili. Papo kwa Papo 02.12.2016

https://p.dw.com/p/2Tedg