1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika yaungana katika vita dhidi ya kuangamia kwa tembo

Elizabeth Shoo29 Aprili 2016

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema nchi yake itaongoza juhudi za kupiga marufuku biashara ya bidhaa zitokanazo na wanyamapori. Ameyasema hayo katika mkutano wa kilele uliyohudhuriwa na viongozi wa Afrika.

https://p.dw.com/p/1IfSD
Pembe za ndovu zitakazochomwa Kenya
Picha: Reuters/T.Mukoya

[No title]