1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ziwa Tanganyika lakumbwa na athari za kimazingira

1 Februari 2017

Shughuli za kibinadamu ni miongoni mwa kitisho chenye kuathiri ziwa hilo la pili kwa ukubwa Afrika lenye viumbe na mimea zaidi ya 1,500 ambavyo zaidi ya asilimia 40 havipatikani kwingine popote duniani.

https://p.dw.com/p/2Wm5q
Wavuvi katika Ziwa Tanganyika
Picha: DW/J. Johannsen

M M T/ J2.01.02.2017L.Tanganyika - MP3-Stereo

Hayo ni kwa mujibu wa shirika la kimataifa la kutunza mazingira la Global Nature Fund, GNF. Sudi Mnette amezungumza na Professor Pius Nyanda kutoka Dar es Salaam ambaye ametoa ufafanuzi zaidi.