Athari za Sheng kwa ukuwaji wa Kiswahili
12 Agosti 2013Matangazo
Katika makala hii ya Vijana Mchakamchaka, Amina Abubakar anaangazia lugha inayokuwa kwa kasi sana miongoni mwa vijana nchini Kenya - lugha ya Sheng ambayo ni mchanganyiko Kiswahili, Kiingereza na lugha nyengine za ndani ya nchi hiyo, Je, nini madhara ya matumizi ya mbinu kama hizi katika kuwasiliana?
Makala: Athari za Sheng kwa ukuwaji wa Kiswahili
Mhariri: Mohammed Khelef