1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Audi

Audi ni kampuni ya utengenezaji wa magari ya kifahari ya nchini Ujerumani yenye makao yake mjini Ingolstadt. Ni mmoja ya chapa 12 za kampuni ya Volkswagen na kwa hivyo ilihusika katika kashfa ya udanganyifu ya VW.