1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BAGHDAD: Waumini 11 wameuawa nchini Irak

7 Machi 2007
https://p.dw.com/p/CCLb

Si chini ya waumini 115 wa madhehebu ya Kishia wameuawa katika shambulio la kujitolea muhanga nchini Irak.Vile vile zaidi ya 150 wengine wamejeruhiwa katika shambulio hilo.Wanamgambo wawili waliojitolea muhanga walijipenyeza miongoni mwa waumini waliokuwa wakipumzika ndani ya hema,kando ya barabara karibu na mji wa Hilla ulio kusini mwa mji mkuu Baghdad.Hivi sasa nchini Irak waumini wengi wapo njiani kuelekea mji takatifu wa Kerbala.