1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Berlin. Uvataji sigara utaamuliwa na majimbo.

8 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CClX

Serikali ya Ujerumani imethibitisha ripoti kuwa itapunguza makali mipango ya kupiga marufuku nchi nzima uvutaji wa sigara. Pendekezo lililotolewa na kundi linaloangalia jinsi ya kuzuwia uvutaji wa sigara katika majengo yote ya umma, hospitali na mikahawa litapunguzwa makali baada ya serikali kueleza wasi wasi wake kuwa marufuku hiyo inaweza kwenda kinyume na katiba.

Itakuwa sasa jukumu la majimbo 16 ya Ujerumani kutekeleza marufuku hiyo kama watakavyoona kuwa sawa.