1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN:Waziri Steinmeier aanza ziara ya Latin Amerika

16 Aprili 2007
https://p.dw.com/p/CC9Y

Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani bwana Frank- Walter Steinmeier yupo njiani kuelekea bara la Latin Amerika ambapo atafanya ziara ya siku tano.

Waziri Steinmeier pia anatarajiwa kukutana na katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa bwana Ban Ki -Moon mjini New York kuzungumzia juu ya mgogoro wa Darfur.