1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bingwa wa Miereka Syria

2 Januari 2018

Japo aliikimbia nchi yake ya Syria inayozongwa na vita akaenda Misri, Amir Awad aliendeleza ari yake katika mchezo wa miereka. Akawa bingwa aliyeyashinda mataji mbalimbali akichezea timu ya taifa ya miereka ya Syria.

https://p.dw.com/p/2qECG