1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Janga

Boti yazama Visiwani Zanzibar

5 Aprili 2017

Vyombo vya usalama na uokoaji Zanzibar vimefanikiwa kuwaokoa jumla ya wavuvi 53 ambao boti yao ilizama Jumanne majira ya saa nne asubuhi katika bahari ya Tumbatu kutokana na hali mbaya ya hewa.

https://p.dw.com/p/2aj7g
Boti bahari ya Hindi, Zanzibar (Aufnahme vom 5.2.2003).
Picha: picture-alliance/dpa

M M T/ J2.05.04.2017-Zanzibar Rescue operation of capsized boat with fishermen - MP3-Stereo

Kabla ya ajali hiyo, Mamlaka ya Hali ya Hewa ilikuwa imetoa indhari kwa wasafiri. DW imezungumza na Kamanda wa Kaskazini Unguja, Kamishna Msaidizi wa Polisi Hasina Ramahani Tawfiq, kufahamu taarifa zaidi ya tukio hilo na kwanza anaelezea tukio lilivyotokea.