1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CCM Tanzania yapata takribani 100% uchaguzi wa mitaa

Mohammed Khelef
25 Novemba 2019

Wizara yenye dhamana ya chaguzi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji nchini Tanzania inasema chama tawala cha mapinduzi, CCM, kimepata ushindi wa takribani 100% kwenye uchaguzi uliokuwa umesusiwa na vyama kadhaa vya upinzani. Gwandumi Mwakatobe anazungumzia maana ya matokeo haya kwa chaguzi nyengine zijazo, ukiwemo wa rais na wabunge mwakani.

https://p.dw.com/p/3Th09