1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Dhana ya Chakula kwenye Kiswahili cha Pemba

Mohammed Khelef
21 Machi 2018

Waswahili wana tabia ya kuhifadhi historia ya matukio mbalimbali kwenye maisha kwenye majina ya watoto wao, lakini kisiwani Pemba wanahifadhi pia kwa kutumia chakula. Mtafiti wa Lugha na Mahusiano ya Kijamii, Nathalie Arnold, kutoka Marekani, anaelezea kile ambacho amekigundua kisiwani Pemba.

https://p.dw.com/p/2ugNa