Tuangazie yale yaliyopewa umuhimu na magazeti ya Ujerumani kuhusiana na bara la Afrika kwa juma hili linalomalizika, ikiwa ni pamoja na: Kesi ya ufisadi inayomkabili rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, hali ya kisiasa nchini Uganda na Paul Rusesabagina wa Rwanda ambaye kwa sasa anakabiliana na mashitaka ya ugaidi na uasi kwenye mahakama mjini Kigali.