SiasaDuale asema ataachana na siasa ikiwa Ruto atashinda uraisTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaThelma Mwadzaya 14.08.201914 Agosti 2019Wanasiasa nchini Kenya wanaendelea kurushiana maneno kuhusu mageuzi ya katiba na watakaowania urais mwaka 2022. Kiongozi wa chama tawala bungeni Aden Duale amesema ataachana na siasa ikiwa Naibu wa Rais William Ruto atashika hatamu kuiongoza nchi.https://p.dw.com/p/3Nse7Matangazo