1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DW: Ukatili dhidi ya wanawake ukomeshwe

Sylvia Mwehozi
8 Machi 2018

Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake, wanawake kutoka idhaa mbalimbali za DW wameungana kupaza sauti ya kutaka kukomeshwa kwa ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa kike. #Imetosha.

https://p.dw.com/p/2txmb