1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Google yaadhimisha miaka 20

Yusra Buwayhid
12 Septemba 2018

Google imetimiza miaka 20 tokea kuanzishwa kwake. Na katika mambo yaliyovuma katika mitandao ya kijamii wiki hii ni vifo vya afande Muhammad Kirumira nchini Uganda na kingine cha msichana wa Kikenya Sharon Otieni anaetajwa kuwa alikuwa na ujauzito alipouawa.

https://p.dw.com/p/34k4i