1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya Mafuriko nchini Tanzania

22 Desemba 2011

Bado tukisalia huko huku Tanzania idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa inayoendelea nchini humo inahofiwa kupanda tayari watu elfu nne wameachwa bila makao.

https://p.dw.com/p/13XXD
A photograph made available 03 September 2009 shows residents of Ouagadougou attempt to navigate down a flooded road in Ouagadougou, Burkina Faso 01 September 2009. Annual torrential rain has caused flooding in almost all districts of the country. At least five people are reported dead and more than 150000 homeless following the heavy rains in Ouagadougou and its suburbs. EPA/PANAPRESS +++(c) dpa - Bildfunk+++
Wananchi wakiwa kwenye hali mbaya kutokana na mafuriko ya mvua kubwaPicha: picture-alliance / dpa

Kulingana na shirika la hali ya hewa nchini humo mvua hiyo kubwa inatabiriwa kuendelea kunyesha kwa siku tatu zijazo. Hata hivyo tayari serikali huko imefanikiwa kuwaokoa baadhi ya walikokwama na kuwahifashi katika maeneo yalio salama.

Amina abubakary amezungumza na Said Meck Sadiq mkuu wa mkoa wa dar es salaam na mwanzo anaelezea hali ilivyo.

Mwandishi Amina Abubakar

Mhariri Mohammed Abdulrahman