1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Iran na Urusi zasema IS wamefika mwisho

Mohammed Khelef
21 Novemba 2017

Iran na Urusi zatangaza mwisho wa kundi lijiitalo Dola la Kiislamu (IS) nchini Syria, Marekani yasema Korea Kaskazini ni taifa linalofadhili ugaidi duniani na wabunge wa Zimbabwe wajipanga kumuondoa Rais Robert Mugabe. Papo kwa Papo, 21 Novemba 2017.

https://p.dw.com/p/2nzgB

Iran na Urusi zatangaza mwisho wa kundi lijiitalo Dola la Kiislamu (IS) nchini Syria, Marekani yasema Korea Kaskazini ni taifa linalofadhili ugaidi duniani na wabunge wa Zimbabwe wajipanga kumuondoa Rais Robert Mugabe. Papo kwa Papo, 21 Novemba 2017.