1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Israel yaamua kuwaachia huru wafungwa 90 wa kiipalastina

23 Septemba 2007
https://p.dw.com/p/CBNC

Jerusalem:

Serikali ya Israel imeamua kuwaachia huru wafungwa 90 wa kipalastina.Uamuzi huo unaangaliwa kama hatua ya kumuunga mkono rais wa utawala wa ndani wa Palastina Mahmoud Abbas.Wafungwa hao wanaoachiwa huru ni wanachama wa Fatah.Jumla ya wapalastina elfu kumi na mmoja wanashikiliwa korokoroni nchini Israel.