1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jakaya Kikwete

Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa rais wa nne wa Tanzania, akikaa madarakani kuanzia 2005 hadi 2015. Kabla ya kuchaguliwa kwake, alikuwa waziri wa mambo ya nje kuanzia 1995 hadi 2005 chini ya mtangulizi wake Benjamin Mkapa.