1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Janga la corona halikupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi

22 Oktoba 2021

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeonya kuwa janga la COVID-19 halijapunguza kasi ya mabadiliko ya tabia nchi ulimwenguni. Kwenye makala hii ya Mtu na Mazingira Saleh Mwanamilongo anaangazia kwa nini viongozi duniani bado hawajapunguza kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa gesi chafu na kufikia malengo ya mkataba wa Paris wa mwaka 2015?

https://p.dw.com/p/422xB