1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, ni wakati wa Vijana kujitosa siasani?

19 Juni 2018

Ukosefu wa ajira kwa vijana katika nchi nyingi za Afrika uko juu mno na serikali za bara hilo zinaonekana kutotilia maanani suala la ukosefu wa ajira. Ni suala ambalo linawafanya vijana kuingiwa na mawazo ya kuzihama nchi zao na kuelekea ughaibuni kutafuta ajira.

https://p.dw.com/p/2zqG9