1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jishindie zawadi na DW!

Bruce Amani
4 Januari 2017

Sikiliza shindano hapa kisha utume jibu lako sahihi ili kupata nafasi ya kushinnidia zawadi kemkem

https://p.dw.com/p/2VF3S
Fußballfans in Johannesburg Südafrika
Picha: DW/T. Khumalo

Tumeuanza mwaka wa 2017 kwa kishindo! 
Dimba kubwa kabisa la kandanda barani Afrika – AFCON linang’oa nanga Januari 14! Na ili kujishindia zawadi murwa kabisa, tuambie ni taifa gani mwenyeji wa michuano hiyo ya Kombe la Mataifa ya Afrika 
Jee, ni Ghana, Zambia au Gabon?
Tuma jibu lako sahihi kwa kutumia barua pepe
kiswahili@dw.com 

DW Kiswahili, tunavuma kwa kishindo!