1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Joseph Kabila

Joseph Kabila Kabange ni mwanasiasa wa DRC alieiongoza nchi hiyo tangu tangu Januari 2001. Alichukuwa madaraka siku kumi baada ya kuuawa kwa baba yake, rais Laurent Desire Kabila. Alichaguliwa kuwa rais 2006, na 2011.