1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

KABUL:Askari saba wauwawa

25 Aprili 2007
https://p.dw.com/p/CC7I

Bomu lililotegwa kandoni mwa barabara limelipuka na kuwauwa askari saba katika eneo la mpaka wa Afghanistan na Pakistan.

Maafisa wa Afghanistan wamesema kwamba askari hao waliouwawa walikuwa katika msafara wa magari kumi katika mkoa wa Pakita wakati walipopata ajali hiyo.

Hakuna mtu au kundi lolote lililodai kuhusika na shambulio hilo.