1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kansela Merkel asema mkutano wa Annapolis nafasi ya kupata amani

28 Novemba 2007
https://p.dw.com/p/CU8r

Kansela wa Ujerumani,Angela Merkel alipohotubia bunge mjini Berlin aliyaeleza matokeo ya mkutano wa Annapolis kama ni nafasi ya kupata amani ya kudumu kati ya Israel na Wapalestina.

Wakati huo huo Merkel akasisitiza wajibu wa kihistoria wa Ujerumani kuhakikisha usalama wa Israel na kuwepo kwa taifa la Israel.