1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kassim Majaliwa

Kassim Majaliwa Majaliwa ni mwanasiasa wa Tanzania, na waziri mkuu wa nchi hiyo tangu 2015. Aliteuliwa katika wadhifa huo na Rais John Pombe Magufuli mwaka 2015 na kuendelea na wadhifa huo chini ya rais Samia Hassan.