Mabenki matatu yameanguka nchini Kenya katika muda wa miezi tisa. Mawili ambayo ni Imperial na Chase yamechukuliwa na Benki Kuu ya Kenya, CBK. Mchambuzi aeleza nini kitatokea kwa amana za wateja.
https://p.dw.com/p/1ISAg
Matangazo
[No title]
DW imezungumza na mchambuzi wa masuala ya kiuchumi na kisiasa James Shikwati kutoka Kenya.