1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenyatta akosolewa kufuta kazi bodi ya shirika la feri

Faiz Musa 18 Oktoba 2019

Mashirika ya kijamii na viongozi wa kidini mjini Mombasa, Kenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuchukua hatua za dharura za kisheria dhidi ya usimamizi wa shirika la Huduma za Feri badala ya kila mara kuivunja bodi ya shirika hilo panapotokea ajali.

https://p.dw.com/p/3RVbs