1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kikundi cha kina mama wanaosuka mikoba

14 Februari 2018

Katika kupambana na maisha na hali ngumu ya kiuchumi kina mama takriban 30 hivi wa kijiji cha Pongwe ambao wanajiita Tusikerane, wamekataa kuwa tegemezi kwa kuanzisha mradi wa kusuka mikoba ya ukili ambayo wanatazamia itawaondoa katika umaskini. Tazama vidio.

https://p.dw.com/p/2sg0C