1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kilimo na ajira kwa vijana

2 Desemba 2012

Wakati nchi za Afrika mashariki na kati zikikabiliwa na ongezeko la ukosefu wa ajira, hususan kwa vijana, sekta ya kilimo inabaki kuwa mkombozi pekee aliyebakia.

https://p.dw.com/p/16uKI
Kilimo
KilimoPicha: picture-alliance/Photoshot

Lakini je, juhudi za kutosha zinafanyika kuhakikisha sekta hiyo inatoa mchango wake ipasavyo? Sikiliza makala kuhusu kilimo na ajira kwa vijana kwa kubonyeza alama ya spika za maskioni hapo chini.

Mtayarishaji na msimulizi: Iddi ISmail Ssessanga
Mhariri: Mohamed Abdul Rahman