1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kiswahili kama 'linguafranca' nje ya Afrika

28 Machi 2014

Mazoea ya wengi ni kwamba lugha zinazotumika kama kiunganisho cha watu wenye lugha tafauti za asili (linguafranca) ni lugha za Ulaya kama Kiingereza, Kihispania na Kifaransa kwa Waafrika, lakini sio lugha za Kiafrika.

https://p.dw.com/p/1BY27
Dk. Said Ahmed Mohamed
Dk. Said Ahmed MohamedPicha: DW/M. Khelef

Mohammed Khelef anazungumza na watu ambao si Waafrika wala Waswahili kwa asili zao, lakini wanatumia Kiswahili kama lugha ya kuwasiliana wao kwa wao, huku kila mmoja akitokea lugha tafauti na mwenzake: Kelly Askew kutoka Marekani, Mikhail Goromov kutoka Urusi na Uta Reuster-Jahn kutoka Ujerumani.

Kusikiliza makala hii, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.